Wednesday, September 12, 2012
BIN ZUBEIRY: AUNT EZEKIEL AKIPAGAWISHA KATIKA MOJA YA SHOO ZA SERENGETI FIESTA...HI KWELI NI BHAAAAAAAAAS
hii ni moja kati yanayoendelea ktk serengeti fiesta
Monday, September 10, 2012
Sunday, September 2, 2012
simba watoka sare,washindwa kulipa kisasi
timu ya soka ya simba ya daresalaam wametoka sare ya kufungana goli moja kwa moja na timu ya nairobi city stars ya jijini kenya,katika mchezo huo simba ilijifunga kupitia beki wake kondamil keita raia wa mali katika kipindi cha kwanza,lakini katika kipindi cha pili simba waliccharuka na kupata bao la kusawazisha kupitia mshambuliaji wao raia wa ghana daniel akuffor
Saturday, September 1, 2012
Subscribe to:
Comments (Atom)