Sunday, September 2, 2012

simba watoka sare,washindwa kulipa kisasi





timu ya soka ya simba ya daresalaam wametoka sare ya kufungana goli moja kwa moja na timu ya nairobi city stars ya jijini kenya,katika mchezo huo simba ilijifunga kupitia beki wake kondamil keita raia wa mali katika kipindi cha kwanza,lakini katika kipindi cha pili simba waliccharuka na kupata bao la kusawazisha kupitia mshambuliaji wao raia wa ghana daniel akuffor